Baadhi ya Migambo wa Jiji la Dar es Salaam wakilifunga kwa minyororo gari namba T411 AED, baada ya kuikuta limeegeshwa kando ya barabara ya Azikiwe jana. (Picha na Nyakasagani Masenza)
Hapa Migambo wa Jiji la Dar es Salaam baada ya kulifunga gari hilo kwa minyororo wakiwa wamesimama kando ya barabara wakimsubiri kuonana na dereva.
Hapa Migambo wa Jiji la Dar es Salaam baada ya kulifunga gari hilo kwa minyororo wakiwa wamesimama kando ya barabara wakimsubiri kuonana na dereva.
Comments
Post a Comment