Hawa ni Migambo wa Manispaa ya Ilala ambao huwavizia na kuwakamata madereva wanaoegesha magari kando ya Barabara na kuwatoza faini za papo hapo bila kutoa stakabadhi sitahiki.
Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam akisukuma Baiskeli iliyosheheni madumu ya maji wakati akitoka kuchota maji umbali mrefu. ndio maisha bora hayo.
Comments
Post a Comment