Hii ndio Nyumba Maalumu ya Mzee Juma Nasoro, Mkazi wa Miono, Bagamoyo Mkoani Pwani, mtaalam anayeishi na majoka ya kutisha nyumbani kwake.
Mtoto huyu Lazaro Mninga 12, aliyeumwa na nyoka eneo la Chalinze, Pwani na Madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kutaka kukata mguu wake, akiendelea vizuri baada ya kupata matibabu ya uhakika
Huyu ndiye Mzee Juma Nasoro wa Miono anayeishi na Majoka ya kutisha nyumbani kwake.
Hapa akiwa na Mtoto Lazaro aliyeumwa na nyoka Chalinze
Akikagua maendeeleo ya mguu wa Lazaro, ambaye sasa anatembea baada ya kupata matibabu ya uhakika
Mzee Nasoro akiwa na baadhi ya wateja waliofika nyumbani kwake kuangalia majoka.
Hawa ni baadhi ya majirani waliofika nyumbani kwake
Hapa akiwa ndani ya chumba chenye masanduku makubwa ya nyoka wa kutosha
Huyu akimpongeza Mzee Nasoro kwa ujasiri wa kuishi na majoka
Angalia joka hili ni chatu linalokula mbuzi wawili lakini wazima, lazima wawe hai.
Mtoto huyu Lazaro Mninga 12, aliyeumwa na nyoka eneo la Chalinze, Pwani na Madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kutaka kukata mguu wake, akiendelea vizuri baada ya kupata matibabu ya uhakika
Huyu ndiye Mzee Juma Nasoro wa Miono anayeishi na Majoka ya kutisha nyumbani kwake.
Hapa akiwa na Mtoto Lazaro aliyeumwa na nyoka Chalinze
Akikagua maendeeleo ya mguu wa Lazaro, ambaye sasa anatembea baada ya kupata matibabu ya uhakika
Mzee Nasoro akiwa na baadhi ya wateja waliofika nyumbani kwake kuangalia majoka.
Hawa ni baadhi ya majirani waliofika nyumbani kwake
Hapa akiwa ndani ya chumba chenye masanduku makubwa ya nyoka wa kutosha
Huyu akimpongeza Mzee Nasoro kwa ujasiri wa kuishi na majoka
Angalia joka hili ni chatu linalokula mbuzi wawili lakini wazima, lazima wawe hai.
Comments
Post a Comment