JAMES KISSAKA AMETUTOKA

Mlinda mlango wa zamani wa Klabu ya Simba SC ya Dar es Salaam, James Kisaka (pichani juu) amefariki dunia katika hospitali ya Burhan, Dar es Salaam, iliyoko Kariakoo.

Mdogo wa marehemu, Benny Kisaka ameiambia Mpiganaji kuwa James Kisaka amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya kichwa, macho na miguu kwa muda mrefu.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU