RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA SABA

Mhandisi Dkt. John Ndunguru akipokea hati za kiapo kutoka kwa Rais Jakaya Kikwete, baada ya kuapishwa Dar es Salaam kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kigoma, 
Mhandisi Dkt. John S. Ndunguru (kulia), akiapa mbele ya Rais Jakaya Kikwete kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kigoma, wakati wa sherehe fupi ya kuwaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa saba ya Tanzania Bara, Ikulu, Dar es Salaam juzi.
Mhandisi Dkt. John S. Ndunguru (kulia), akisaini hati ya kiapo mbele ya Rais Jakaya Kikwete, baada ya kuapishwa kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kigoma, wakati wa sherehe fupi ya kuwaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa saba ya Tanzania Bara, Ikulu, Dar es Salaam

Rais Jakaya Kikwete (wa nne kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Makatibu Tawala wapya wa Mikoa saba ya Tanzania Bara, baada ya kuwaapisha Ikulu Dar es Salaam juzi. Kutoka kushoto ni Mhandisi Dkt. John Ndunguru (Kigoma), Symthies Pangisa (Rukwa), Alfred Luanda (Mtwara), Wamoja Dickolagwa (Iringa), Mhandisi Omari Chambo (Manyara), Jackson Saitabau (Njombe) na Abdallah Chikota (Lindi).

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU