CHEZEA TANZANIA YAKUKUTE YA NDULI IDD AMIN DADAA

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA LIKIONYESHA BAADHI YA VIFAA VYAKE VYA KISASA KABISA WAKATI WA MAADHIMISHISHOYA SHEREHE ZA MUUNGANO
HIKI NI KIFARU MAALUM KWA AJILI YA KURUSHA MAKOMBORAMAZITO KWA AJILI YA KUSAMBARATISHA NGOME ZA ADUI WAKATI WA VITA,

 HILI NI GARI MAALUM LA MAWASILIANO YA VIKOSI VYA ANGA WAKATI WA VITA
 BAADHI YA VIFAA VYA VITA HUSAFIRISHWA KWA MAGARI KAMA HIVI
MAKOMANDOO WA JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA WAKIONYESHA UWEZO WA KUKABILIANA NA ADUI BILA KUWA SILAHA KWA AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA TANZANIA, DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE,

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU