WANYAMA MASENZA, "Tumepokea kifo cha ghafla cha ISANDEKO, alikuwa ndugu yangu wa karibu, nimesikitishwa sana, Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi, AMIN, mbele yatu nyuma yake sisi".
YUSTO NYAKIRE "Tumehudhunishwa sana kwa kifo cha ISANDEKO, hayuko pamoja nasi tena".
ATHUMANI SAIDI "Mungu aiweke roho ya ISANDEKO mahali pema peponi, AMIN".
MOHAMED MUSSA "Inasikitisha sana kuondokewa na mwenzetu tuliyemzoea na kushirikiana naye".
Vijana wa Ikizu, wakiwa kwenye kikao maalum, kilichofanyika TITANIC Vingunguti, Dar es Salaam juzi, wakati wakijadili kusafirisha Mwili wa Marehemu Isandeko, kuelekea Ikizu, Wilayani Bunda, mkoani Mara.
Mmoja wa waombolezaji akiwa ameshika picha ya Marehemu Isandeko wakati wa kuaga mwili wake.
Wanafunzi wanaosoma na watoto wa Marehemu ISANDEKO wakiongoza waombolezaji kuaga mwili
Wanafunzi wakita mbele ya jeneza lenye mwili wa Marehemu Isandeko kutoa heshima zao za mwisho
Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamesimama kando ya jeneza wakishuhudia tukio la kuaga mwili
Waombolezaji wakipita mbele ya jeneza lenye mwili wa Marehemu, nyumbani kwake Vingunguti
Wanyama Masenza, akipita mbele ya jeneza la Marehemu Isandeko wakati wa kuaga mwili wake
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Marahemu Isandeko tayari kuelekea kwenye gari lililoandaliwa kwa ajili ya kusafarisha mwili kuelekea Ikizu, Wilayani Bunda kwa mazishi
Mwili wa Marehemu wakiingizwa ndani ya gari kwa ajili ya kuelekea Ikizu, Bunda, mkoani Mara
Yusto Nyakire akisoma majina ya watu watakasindikiza Mwili wa Isandeko kwenda Ikizu.
Picha ya Marehemu Isandeko, wakati wa Uhai wake.
TIGANI NYAKIRE "Sina cha kusema jamani, tumepoteza kiungo muhimu katika safu ya ushambuliaji, alikuwa na msimamo usioyumbishwa tutamkumbuka daima, mwache pumzika kwa amani ISANDEKO".
MUSSA SATARA "Nitasema nini mimi, alikuwa kiungo muhimu kwetu, tumuombee apumzike kwa aman".YUSTO NYAKIRE "Tumehudhunishwa sana kwa kifo cha ISANDEKO, hayuko pamoja nasi tena".
ATHUMANI SAIDI "Mungu aiweke roho ya ISANDEKO mahali pema peponi, AMIN".
MOHAMED MUSSA "Inasikitisha sana kuondokewa na mwenzetu tuliyemzoea na kushirikiana naye".
Vijana wa Ikizu, wakiwa kwenye kikao maalum, kilichofanyika TITANIC Vingunguti, Dar es Salaam juzi, wakati wakijadili kusafirisha Mwili wa Marehemu Isandeko, kuelekea Ikizu, Wilayani Bunda, mkoani Mara.
Wanafunzi wanaosoma na watoto wa Marehemu ISANDEKO wakiongoza waombolezaji kuaga mwili
Wanafunzi wakita mbele ya jeneza lenye mwili wa Marehemu Isandeko kutoa heshima zao za mwisho
Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamesimama kando ya jeneza wakishuhudia tukio la kuaga mwili
Waombolezaji wakipita mbele ya jeneza lenye mwili wa Marehemu, nyumbani kwake Vingunguti
Wanyama Masenza, akipita mbele ya jeneza la Marehemu Isandeko wakati wa kuaga mwili wake
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Marahemu Isandeko tayari kuelekea kwenye gari lililoandaliwa kwa ajili ya kusafarisha mwili kuelekea Ikizu, Wilayani Bunda kwa mazishi
Mwili wa Marehemu wakiingizwa ndani ya gari kwa ajili ya kuelekea Ikizu, Bunda, mkoani Mara
Picha ya Marehemu Isandeko, wakati wa Uhai wake.
Comments
Post a Comment