MIRADI INAYOFANYWA NA NSSF INAVYOVUTIA MATAIFA MENGINE YA AFRIKA


Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cresentius Magori (kulia), akikabidhi mfuko wenye zawadi mbalimbali kwa Meneja Mafao wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Gambia , Joof Donald, aliyekuwa nchini Tanzania kwa ajili ya kujifunza jinsi NSSF ilivyofanikiwa. Katikati ni Meneja Mafao wa NSSF Tanzania, James O.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cresentius Magori (kushoto), akiteta jambo na Meneja Mafao wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Gambia , Joof Donald, aliyefika ofisi kwake kumuaga baada ya kuwa nchini Tanzania kwa ajili ya kujifunza kuhusu mafanikio ya NSSF. Kulia ni Meneja Mafao wa NSSF Tanzania, James O.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cresentius Magori  akiwasikiliza kwa makini Bw. Donald na James wakati wakijadiliana kuhusu Mafao ya wafanyakazi wa nchini Gambia.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU