Ofisa wa Jeshi la Polisi Jijini Dar es Salaam akichukua funguo za Pilipiki wakati wa zoezi endelevu la kuwakamata waendesha Bodaboda, Zoezi hili kwa kiasi kikubwa limeongeza uhalifu mitaani.
Hapa Ofisa wa Polisi akitoa maelekezo kwa waensdesha Bodaboda kujisalimisha sehemu iliyoandaliwa kwa ajili ya zoezi la kuwakamatwa baada ya kuwanyang'anya funguozao.
Hawa akiwa wamesimama kwenye taa za Kamata wakitafakari baada ya kunyang'anywa funguo zao
Huyu Mhindi akitembea kwa miguu na kofia ngumu mikononi baada ya kushushwa kwenye Pikipiki inayosukumwa na mwenzake nyuma yake. 'Walah Mimi Napata Ushungu'.
Hapa Ofisa wa Polisi akitoa maelekezo kwa waensdesha Bodaboda kujisalimisha sehemu iliyoandaliwa kwa ajili ya zoezi la kuwakamatwa baada ya kuwanyang'anya funguozao.
Hawa akiwa wamesimama kwenye taa za Kamata wakitafakari baada ya kunyang'anywa funguo zao
Huyu Mhindi akitembea kwa miguu na kofia ngumu mikononi baada ya kushushwa kwenye Pikipiki inayosukumwa na mwenzake nyuma yake. 'Walah Mimi Napata Ushungu'.
Comments
Post a Comment