JIJINI DAR ES SALAAM LEO KATIKA PICHA

 Mfanyabiashara ya kuuza mikaa akitumia Baiskeli yake kusafirisha bidhaa hiyo kwenda katikari ya Jiji leo.
 Wauuza mikaa kutoka Kisarawe, wakisafirisha shehena ya bidhaa hiyo kwa Baiskeli kuelekea katikati ya Jiji
Wakazi wa eneo la Gongo la Mboto, Dar es Salaam, wakipata huduma safi ya chakula cha mchana kwa Mama rishe wanaofanya biashara hiyo kando ya Barabara ya Kisarawe,Jijini Dar es Salaam leo
Ni kawaida kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kusoma magazeti bila kununua kama hawa waliokutwa na Kamera yetu, eneo la Vigunguti. Vichwa vya habari vya magazeti huwatosha kabisa kupata habari.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU