NSSF YASAJILI NA KUWAPA KADI WANACHAMA WAPYA MKOANI LINDI

Afisa Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Lindi, Bi. Jane Ndumbaro, akikabidhi kadi ya uanachama kwa mwanachama mpya aliyesajiliwa rasmi leo na kupewa kadi ya uanachama.
Afisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Bi. Theopista Mheta(aliyeketi), akizungumza na baadhi ya wakazi wa Lindi waliofika kwenye Banda la NSSF kupata maelekezo ya namna ya kujiunga na shirika hilo.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU