NYOTA YA LOWASA YANG'ARA KITAIFA NA KIMATAIFA

PAMOJA na misukosuko ya hapa na pale ikiwemo kupakana matope kwa makada wa Chama Tawala, Nyota ya Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli (CCM), Edward Ngoyay Lowasa (picahni), bado inang'ara kwa kasi kubwa huku baadhi ya watanzania wa kada mbali mbali wakimhitaji kwa udi na uvumba kurthi mikoba ya Rais anayemaliza muda, swahiba wake mkubwa, Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye atastaafu Urais Oktoba 2015, baada ya kumaliza muda wake wa uongozi. 

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU