WADAKWA NA POLISI WAKISAFIRISHA BHANGI ARUSHA

Gari aina ya Toyota Corolla namba  T589 AZS likiwa limekatwa na shehena kubwa ya madawa ya kulevya aina ya Bhangi katika eneo la Sanawari, Jijini Arusha, baada ya Askari wa Kitengo Maalum cha kuzuia madawa ya kulevya kulitilia shaka na kufanikiwa kulikamata. Watuhumiwa ni wana familia.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU