Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kulia) akisalimiana na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Mark Chidress alipofika ofisini kwa Waziri kwa mazungumzo na kuimarisha ushirikiano na kukumbuka tukio la kigaidi la Septemba 11.
Waziri Membe akitata jambo na mgeni wake Balozi Mark, ofisini kwake, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Jijini Dar es Salaam...
Waziri Membe akitata jambo na mgeni wake Balozi Mark, ofisini kwake, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Jijini Dar es Salaam...
Comments
Post a Comment