MEMBE, BALOZI MARK WAKUMBUKA TUKIO LA SEPTEMBA 11

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kulia) akisalimiana na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Mark Chidress alipofika ofisini kwa Waziri kwa mazungumzo na kuimarisha ushirikiano na kukumbuka tukio la kigaidi la Septemba 11.
Waziri Membe akitata jambo na mgeni wake Balozi Mark, ofisini kwake, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Jijini Dar es Salaam...

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU