Meneja Kiongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mkoa wa Temeke, Bw. Yahaya Mhamali, akifafanua jambo alipozungumza na waajiri wa mkoa huo, wakati wa semina ya siku moja, iliyoandaliwa na shirika hilo, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Meneja Idara za Serikali na Balozi, Bi. Rehema Chuma.
Maofisa waajiri waliohudhuria semina hiyo, wakiwa kwenye ukumbi wa Water Front, Dar es Salaam
Meneja Mafao wa NSSF, Bw. James Oig akifafanua jambo, wakati akizungumza na waajiri, Dar es Salaam
Baadhi ya Maofisa waajiri wakimsikiliza kwa makini, Meneja Kiongozi wa NSSF, Bw. Mhamali, alipozungumza nao kwenye Ukumbi wa Water Front, Dar es Salaam
Waajiri wakiandika kumbukumbu, wakati wa semina ya siku moja ya kuwajengea uwezo.
Hawa wakifuatilia kwa makini semima hiyo, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Water Front
Meneja Kiongozi, Mkoa wa Temeke, Bw. Mhamali akijibu baadhi ya maswali yaliyoulizwa na waajiri, wakati wa semina hiyo. Kushoto ni Meneja wa NSSF Idara za Serikali na Balozi, Bi. Rehema Chuma
Baadhi ya Maofisa wa NSSF, waliofanikisha semina hiyo, wakiwa katika picha ya pamoja.
Maofisa waajiri waliohudhuria semina hiyo, wakiwa kwenye ukumbi wa Water Front, Dar es Salaam
Meneja Mafao wa NSSF, Bw. James Oig akifafanua jambo, wakati akizungumza na waajiri, Dar es Salaam
Baadhi ya Maofisa waajiri wakimsikiliza kwa makini, Meneja Kiongozi wa NSSF, Bw. Mhamali, alipozungumza nao kwenye Ukumbi wa Water Front, Dar es Salaam
Waajiri wakiandika kumbukumbu, wakati wa semina ya siku moja ya kuwajengea uwezo.
Hawa wakifuatilia kwa makini semima hiyo, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Water Front
Meneja Kiongozi, Mkoa wa Temeke, Bw. Mhamali akijibu baadhi ya maswali yaliyoulizwa na waajiri, wakati wa semina hiyo. Kushoto ni Meneja wa NSSF Idara za Serikali na Balozi, Bi. Rehema Chuma
Baadhi ya Maofisa wa NSSF, waliofanikisha semina hiyo, wakiwa katika picha ya pamoja.
Comments
Post a Comment