Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cresentius
Magori, akijibu maswali ya Wahariri wa Vyombo vya Habari, walipotembelea mradi
mkubwa wa uwekezaji katika Kijiji cha DEGE Eco, Kigamboni, Dar es Salaam jana.
Kushoto ni Mkurugenzi wa Fedha, Lodovick Mroso na Meneja Kiongozi wa Mahusiano
na Huduma kwa Wateja, Eunice Chiume.
Wahariri wa Vyombo vya Habari, wakimsikiliza kwa makini, Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja la kisasa la Kigamboni, kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mhandisi Karrim Mataka, wakati akitoa maelezo ya mradi ujenzi wa daraja hilo, wakati wahariri hao, walipotembelea miradi mbalimbali ya uwekezaji inayofanywa
Wahariri wa Vyombo vya Habari wakipita kwenye daraja la muda, lililojengwa kwa ajili ya kupitisha vifaa vya ujenzi, walipofanya ziara ya kuangalia miradi mikubwa ya uwekezaji inayofanywa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dar es Salaam jana.
Meneja Mradi
wa Ujenzi wa Daraja la kisasa la Kigamboni, kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi
ya Jamii (NSSF), Mhandisi Karrim Mataka (kulia), akitoa maelezo ya mradi ujenzi
wa daraja hilo kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari, wanaotembelea mradi
mbalimbali ya uwekezaji unaofanywa na NSSF. Wa pili kushoto ni Kaimu Mkurugenzi
Mkuu wa shirika hilo, Creasentius Magori.
Wahariri wa
Vyombo vya Habari, wakijaribu kupita kwenye njia ya dharura, kwa ajili ya
kupanda juu kuangalia mradi mkubwa wa Ujenzi wa Daraja la kisasa la Kigamboni, unaofanywa na Shirika
la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Wahariri wa Vyombo vya Habari, wakimsikiliza kwa makini, Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja la kisasa la Kigamboni, kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mhandisi Karrim Mataka, wakati akitoa maelezo ya mradi ujenzi wa daraja hilo, wakati wahariri hao, walipotembelea miradi mbalimbali ya uwekezaji inayofanywa
Wahariri wa
Vyombo vya Habari wakimshuhudia Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la
Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cresentius Magori, akipita kwenye kwenye kivuko cha
muda, wakati wakitoka kuangalia mradi mkubwa wa Ujenzi wa daraja la kisasa la
Kigamboni, Dar es Salaam jana.
Wahariri wa
Vyombo vya Habari, wakimsikiliza kwa makini, Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja
la kisasa la Kigamboni, kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),
Mhandisi Karrim Mataka, wakati akitoa maelezo ya ujenzi wa daraja hilo, wakati
wahariri walipotembelea miradi mbalimbali ya uwekezaji inayofanywa na NSSF.
Wahariri wa Vyombo vya Habari wakipita kwenye daraja la muda, lililojengwa kwa ajili ya kupitisha vifaa vya ujenzi, walipofanya ziara ya kuangalia miradi mikubwa ya uwekezaji inayofanywa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dar es Salaam jana.
Comments
Post a Comment