NSSF YAVUNJA REKODI YA KUCHANGIA FEDHA UDOM

Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, akipokea mfano wa hundi ya sh. Milioni 100, kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Chiku Matesa (wa pili kulia), wakati wa Uzinduzi wa Mfuko wa Uwezeshaji wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dar es Salaam jana. Wa pili kushoto ni Mwenyekiti Baraza la Chuo hicho Balozi Juma Mwapachu, Mkuu wa Chuo Profesa Idrisa Kikula na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Juma Kintu.
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, akipokea mfano wa hundi ya sh. Milioni 100, kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Chiku Matesa (wa pili kulia), wakati wa Uzinduzi wa Mfuko wa Uwezeshaji wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti Baraza la Chuo hicho Balozi Juma Mwapachu na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Juma Kintu.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU