Rais
Mstaafu Benjamin Mkapa, akipokea mfano wa hundi ya sh. Milioni 100, kutoka kwa
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Chiku
Matesa (wa pili kulia), wakati wa Uzinduzi wa Mfuko wa Uwezeshaji wa Chuo Kikuu
cha Dodoma (UDOM), Dar es Salaam jana. Wa pili kushoto ni Mwenyekiti Baraza la Chuo
hicho Balozi Juma Mwapachu, Mkuu wa Chuo Profesa Idrisa Kikula na Afisa
Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Juma Kintu.
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, akipokea mfano wa hundi ya sh. Milioni 100, kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Chiku Matesa (wa pili kulia), wakati wa Uzinduzi wa Mfuko wa Uwezeshaji wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti Baraza la Chuo hicho Balozi Juma Mwapachu na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Juma Kintu.
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, akipokea mfano wa hundi ya sh. Milioni 100, kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Chiku Matesa (wa pili kulia), wakati wa Uzinduzi wa Mfuko wa Uwezeshaji wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti Baraza la Chuo hicho Balozi Juma Mwapachu na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Juma Kintu.
Comments
Post a Comment