Naibu
Mtendaji Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (wa tatu kushoto), akikadhi Tuzo
maalumu kwa Mwakilishi wa Kampuni ya Tanga Fresh, Bw. Douglas Makere, baada ya
kumvisha Joho la heshima, wakati wa chakula cha
usiku kilichoandaliwa kwa ajili ya kuzipongeza kampuni 100 za kati, Dar es
Salaam. Kulia ni Ofisa wa Kampuni hiyo, Bw. Protas Kimario. PICHA YA JUU NA CHINI.
Naibu
Mtendaji Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso akimvisha kofia ya heshima Mwakilishi wa Tanga Fresh, Bw. Douglas Makere, wakati wa chakula cha
usiku kwa ajili ya kuyapongeza makampuni 100 ya saizi ya kati, Dar es
Salaam juzi. Kulia ni Ofisa wa Kampuni hiyo, Bw. Protas Kimario.
Comments
Post a Comment