MABEHEWA YA KISASA YAWASILI KUBORESHA USAFIRI WA RELI

Waziri wa Uchukuzi Dkt. Harrison Mwakyembe akiangalia sehemu ya mabehewa ya kisasa yaliyowasili Dar es Salaam kwa ajili ya usafiri wa Reli ya Kati. Mabehewa hayo yanatarajiwa kuanza kazi na kupunguza kwa kiasi kikubwa adha ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam na mkoa wa Kanda ya Ziwa Victoria na Magharibi.
Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, baada ya kupokea sehemu ya mabehewa ya Treni ya Kati, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN)
Mabehewa hayo yanavyoonekana kwa ndani.
Vyumba maalumu kwa wasafiri wa daraja la kwanza kama vitanda vinavyoonekana.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU