TAIFA CUP YA WANAWAKE KUANZA DESEMBA 28

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Tanzania Jamali Malinzi akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo kuhusu Kampuni ya Proin Promotion ltd kudhamini mashindano ya Kombe la Taifa la wanawake wa mikoa yote Tanzania Bara, inayoanza Desemba 28 mwaka huu. Timu za Mikoa ya Mwanza na Mara zitafungua pazia ya michuano hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU