GRACA MACHEL, ANGELA KAIRUKI KUKOMESHA NDOA ZA WATOTO

Mke wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini Hayati Nelson Mandela, Bi. Graca Machel ambaye ni Mwanaharakati wa Haki za Binadamu, akisalimiana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Bi. Angellah Kairuki, Dar es Salaam jana, alipofika kuunga mkono jitihada za kukomesha vitendo vya ukeketaji na ndoa za utotoni. Wengine ni wadau kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA)


Bi. Graca Machel (katikati), akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuunga mkono juhudi za kupambana na vitendo vya ukeketaji na ndoa za utotoni. Kushoto ni Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Bi. Angellah Kairuki na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu Duniani (UNFPA) nchini Tanzania, Dkt. Natalia Kanem.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU