MAGUFULI AIWAKILISHA TANZANIA MSIBA WA MTOTO WA ODINGA

Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya, Bw. Raila Odinga (wa pili kulia), akiteta jambo na Ujumbe kutoka Serikali ya Tanzania, ulioongozwa na Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli (kulia), walipofika nyumbani kwake Bondo, nje ya mji wa Kisumu kushiriki mazishi ya mwanae, Fidelis Castro Odhiambo Odinga, aliyefariki mapema mwaka huu.
Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, akimfariji Mama Mzazi wa Marehemu Fidelis Castro Odhiambo Odinga, alipofika nyumbani kwao kuwafariji.
Dkt. Magufulli akisalimia na Mjane wa Rais wa zamani wa Uganda, Miria Obote, walipokutana kwenye msiba wa mtoto wa Fidelis Castro Odhiambo Odinga,
Dkt, Magufuli akiteta jambo na aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kenya, Bw. Karonzo Msyoka, walipokuta kwenye msiba wa Fidelis Castro Odhiambo Odinga,
FDkt. Magufuli akiwakilisha salamu za Tanzania wakati wa kuuaga mwili wa Fidelis Castro Odhiambo Odinga, Kisumu Kenya,

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU