MAREKANI, UJERUMANI ZAIPIGA TAFU TANZANIA


Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (mbele) akikagua eneo la Hifadhi la Selous, kabla ya kupokea vifaa vifaa maalumu vya kupambana na majangili wanaoua wanyama kwenye hifadhi.

Waziri Nyalandu akibalidilishana hati na Balozi wa Ujerumani nchini, Bw. Egon Kochanke, baada ya kusaini mkataba na nchi za Ujerumani na Marekani zilizoisaidia Tanzania vifaa vya kisasa vya kupambana na majangili.

Baadhi ya vifaa vya kisasa vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya kukabiliana na majangili katika Hifadhi ya Taifa ya Selous.

Askari wa Wanyamapori, Bi. Anita Albert, akijaribu kutumia kionambali ambacho ni miongoni vya vifaa vilivyotolewa na Seriali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya kukabiliana na ujangili



Askari wa wanyamapori wakikagua mahema ambayo ni miongoni mwa vifaa vilivyotolewa kwa ajili ya kukabiliana na ujangili katika Selous.


Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU