Wajumbe
kutoka Vyombo vya Habari vinavyoshirikia
mashindano ya NSSF Media Cup, yanayoandaliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakishiriki
kikao cha kwanza cha michezo hiyo inayotarajiwa kuanza Machi, 2015 kwenye viwanja vya
Sigara, Jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kulia ni Mratibu wa mashindano hayo, Afisa
Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Juma Kintu.
Wajumbe wa NSSF Media Cup 2015, wakijadiliana jambo baada ya kukutana Dar es Salaam leo kupanga ratiba ya mashindano hayo ya kila mwaka.
Mratibu wa NSSF Media Cup 2015, Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii, Juma Kintu akigawa kadi za usajili wa wachezaji kwa wawakilishi wa timu zitazoshiriki mwaka huu Dar es Salaam leo. Kutoka kulia ni Mgaya Kingoba (TSN), Mohamed Mharizo (New Habari) na Salum Mkandemba (Tanzania Daima)
Kutoka kulia, Rashid Zahoro (Uhuru), Tom Chilala (Sahara Media), Charles Mateso (Business Times na Mohamed Mharizo, wakiangalia fomu za usajili wa wachezaji kwa makini
Wajumbe wa NSSF Media Cup 2015, wakijadiliana jambo baada ya kukutana Dar es Salaam leo kupanga ratiba ya mashindano hayo ya kila mwaka.
Mratibu wa NSSF Media Cup 2015, Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii, Juma Kintu akigawa kadi za usajili wa wachezaji kwa wawakilishi wa timu zitazoshiriki mwaka huu Dar es Salaam leo. Kutoka kulia ni Mgaya Kingoba (TSN), Mohamed Mharizo (New Habari) na Salum Mkandemba (Tanzania Daima)
Comments
Post a Comment