WENYEVITI SERIKALI ZA MITAA ILALA, UKONGA, SEGEREA WAAPISHWA LEO

Baadhi ya Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa, walioshinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana, kutoka Majimbo ya Ilala, Ukonga na Segerea wakijaza fomu kabla ya kuapishwa rasmi Dar es Salaam leo  
 Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa wakiapa Mbele ya Mwanasheria wa Serikali kwenye Ukumbi wa Arnautoglo, Dar es Salaam leo
 Wakiangalia fomu kabla ya kujaza kiapo
Wakisubiri kuingia ndani ya ukumbi kwa ajili ya kuapa kuitumikia Serikali

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU