Baadhi ya Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa, walioshinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana, kutoka Majimbo ya Ilala, Ukonga na Segerea wakijaza fomu kabla ya kuapishwa rasmi Dar es Salaam leo
Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa wakiapa Mbele ya Mwanasheria wa Serikali kwenye Ukumbi wa Arnautoglo, Dar es Salaam leo
Wakiangalia fomu kabla ya kujaza kiapo
Wakisubiri kuingia ndani ya ukumbi kwa ajili ya kuapa kuitumikia Serikali
Wakiangalia fomu kabla ya kujaza kiapo
Wakisubiri kuingia ndani ya ukumbi kwa ajili ya kuapa kuitumikia Serikali
Comments
Post a Comment