Rais Jakaya
Kikwete (katika pichani ya juu na chini), akisisitiza jambo, wakati akizungumza na majaji na wananchi, wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya Sheria
kwenye viwanja vya Mahakama Kuu, Mtaa wa Chimala, Dar es Salaam leo
Jaji Mkuu wa
Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akitoa hutuba yake mbele ya Rais Kikwete, wakati wa kilele cha
maadhimisho ya siku ya Sheria yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mahakama, Mtaa wa Chimala, Jijini Dar
es Salaam leo.
Comments
Post a Comment