RAIS KIKWETE AWAFARIJI WAILIOATHIRIWA NA MVUA CHALINZE


Rais Jakaya Kikwete akiongozwa na viongozi wa Kata ya Chalinze tembelea baadhi ya nyumba zilizoathiriwa na mvua za upepo, kijijini kwake Msoga, mkoani Pwani.



Rais Jakaya Kikwete, Mkewe Mama Salma na baadhi ya viongozi wa Kata ya Chalinze, wakizungumza na waathirika wa mvua zilizosababisha kaya zaidi ya 40 kukosa makazi, katika vijiji vya Msoga na Tonga, Chalinze, Wilayani Bagamoyo.

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na waathirika wa mvua zilizosababisha kaya 40 kukosa makazi, katika vijiji vya Msoga na Tonga, Chalinze, Wilayani Bagamoyo.


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, akisalimiana na mmoja wa waathirika wa mvua zilizosababisha kaya zaidi ya 40 kukosa makazi, kukosa pa kuishi katika Vijiji vya Msoga na Tonga, Chalinze, Wilayani Bagamoyo.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU