Mkuu
wa Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani, Luteni Mstaafu Abdallah Kihato (wa pili
kulia), akipokea Hundi ya Sh. Milioni 56 kutoka kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya
Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Victor Kavishe (wa pili kushoto) kwa
ajili ya mradi wa maji katika Kijiji cha Magoza, Kata ya
Kiparang'anda. Kushoto ni Meneja Mahusiano wa TBL, Bi. Emma Urio na Diwani wa
Kata hiyo, Bi. KAru Karapina.
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Kusini, Victor Kavishe (wa pili kushoto, akimkabidhi Luteni Mstaafu Abdallah Kihato, Hundi ya Sh. Milioni 56 zilizotolewa na Kampuni hiyo kwa ajili ya mradi wa Maji katika Kijiji cha Magoza. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa TBL, Bi. Emma Urio na Diwani wa Kata hiyo, Bi. Karu Karavina
Mkuu wa
Wilaya Luteni Mstaafu Abdallah Kihato akikabidhi hundi ya Sh. Milioni 56 zilizotolewa na Kampuni ya Bia
Tanzania (TBL), kwa Mkandarasi, Mkurugenzi wa Kampuni ya GCL, Bw. Gerald Mosha (kushoto), za ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Magoza.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Emma Urio akizungumza na wananchi wa Magoza, kabla ya kampuni hiyo kukabidhi hundi ya Sh. milioni 56 za mradi wa maji.
Afisa
Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL. Bi. Doris Malulu (kulia) akiungana na akina mama wa Kijiji cha Magoza
kuomba dua.
Mkurugenzi wa Kampuni ya GCL, Bw. Gerald Mosha (kushoto) akiomba dua pamoja na wananchi wa Kijiji cha Magoza kwa ajili ya kufanikisha mradi wa maji.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Emma Urio akizungumza na
wananchi wa Magoza, kabla ya kampuni hiyo kukabidhi sh. milioni 56 za mradi wa
maji.
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Kusini, Victor Kavishe (wa pili kushoto, akimkabidhi Luteni Mstaafu Abdallah Kihato, Hundi ya Sh. Milioni 56 zilizotolewa na Kampuni hiyo kwa ajili ya mradi wa Maji katika Kijiji cha Magoza. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa TBL, Bi. Emma Urio na Diwani wa Kata hiyo, Bi. Karu Karavina
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Emma Urio akizungumza na wananchi wa Magoza, kabla ya kampuni hiyo kukabidhi hundi ya Sh. milioni 56 za mradi wa maji.
Mkurugenzi wa Kampuni ya GCL, Bw. Gerald Mosha (kushoto) akiomba dua pamoja na wananchi wa Kijiji cha Magoza kwa ajili ya kufanikisha mradi wa maji.
Diwani wa
Kata ya Kiparang'anda Bi. Karu Karapina akikabidhi zawadi mbalimbali
zilizotolewa na wananchi wa Magoza kwa ajili ya TBL.
Comments
Post a Comment