Naibu
Mkurugenzi Mtendaji wa Benk M Tanzania, Bi Jacguline Woiso, akizungumza na
waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu kuongezeka kwa rasilimali za
Benki hiyo kutoka sh. Bilion 689 2014 hadi sh. Bilion 728. Kulia ni
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki hiyo, Bw. Allan Msailiwa.
Naibu
Mkurugenzi Mtendaji wa Benk M Tanzania, Bi Jacguline Woiso (kushoto), akimsikiliza kwa makini
mwandishi wa habari wa Citizen, Felix Lazaro, alipozungumza naye kuhusu mafanikio ya benki hiyo
yaliyotokana na ufanisi mkubwa pamoja na kutoa mikopo nafuu kwa wateja.
Naibu
Mkurugenzi Mtendaji wa Benk M Tanzania, Bi Jacguline Woiso akifafanua jambo alipoongea na waandishi wa habari, wakati akijibu maswali aliyoulizwa, Dar es Salaam leo.
Comments
Post a Comment