Mkurugenzi Mkuu Mpya wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Profesa Gadius Kuhyarara (kulia), akishikana mikono na Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji Miradi wa NSSF, Bw. Yacub Kidula, alipotembelea mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni, Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu Mpya wa SHirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF, Profesa Gadius Kuhyarara, (kushoto) akisalimia na wataalamu wa ujenzi wa daraja la Kigamboni, Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji Miradi wa NSSF, Bw. Yacub Kidula, akimuonyesha Mkurugenzi Mkuu mpya wa NSSF mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni, Dar es Salaam.
Comments
Post a Comment