KIKWETE ATINGA DARAJA LA NYERERE, AVUTIWA.

 Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete (mwenye miwani na suti nyeusi kushoto) na mkewe Salma (rangi ya njano), wakiangalia sehemu ya daraja la kisasa la Julius Nyerere, walipofanya ziara leo.
 Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akionyesha baadhi ya sehemu zilizomvutia alipofanya ziara kwenye daraja la Nyerere, lililoko Kigamboni, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam leo.
 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akimuonyesha Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto), sehemu mbalimbali za daraja la Nyerere. Kulia ni Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka.
 Rais Mstaafu Dkt. Kikwete akiangalia sehemu ya kulipia gharama za kupita kwenye daraja la Nyerere

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU