Mshiriki wa mafunzo ya ufugaji wa nyuki wasiouma, Emmanuel (mwenye shoka), akipasua gogo lenye viota vya nyuki mbele ya washiriki wa mafunzo ya kufuga nyuki.
Wananchi wa Ikwiriri, mkoani Pwani wakionyeshwa baadhi ya viota cha nyuki wasiouma, wakati wa mafunzo ya ufugaji nyuki.
Wananchi wakionyeshwa viota vya nyuki wasiouma
Wananchi wa Ikwiriri, mkoani Pwani wakipata mafunzo ya kufuga nyuki wasiouma. (PICHA ZOTE NA SEIF NONGWA IKWIRIRI)
Comments
Post a Comment