Kaimu Mkuu wa Idara ya Miradi ya Ujenzi Mhandisi Wambura akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu ukaguzi wa kitaalam wa miradi ya ujenzi nchini, alipokutana nao Jijini Dar es Salaam leo.
Kaimu Mkuu wa Idara ya Majengo kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Kissamo Fredrick akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo kuhusu mafanikio ya Baraza hilo katika utekelezaji wa jukumu la kufanya ukaguzi wa ufundi. (PICHA ZOTE NA BENJAMIN SAWE - MAELEZO)
Comments
Post a Comment