Nape akionesha dole baada ya kuzungumza na wanahabari
Aliyekuwa Waziri wa Habari, Nape Nnauye akizungumza na Wana habari nje ya Hoteli ya Protea, Dar es Salaam leo, kuhusu wadhifa wake huo kutenguliwa na Rais JOhn Magufuli. Mmoja wa maofisa usalama alimtishia kwa silaha kumlazimisha kurudi kwenye gari ili asizungumze na wanahabari
Kamanda wa Polisi Kinondini, Suzan Kaganda akiwasili kwenye mkutana wa wanahabari na Nape
Comments
Post a Comment