SURA YA TISA
USIKU WA KAZI
IV
Jean, Muteba na Papa walikuwa wanaingia ofisini kwa Papa, ili wafanye mipango ya kuwazuia watu hawa, wakati Lemba mmoja wa wasaidizi wao wakubwa aliyekuwa amebaki baada ya Kabeya, Charles na Masambba, alipowajia. "Tumepata simu kutoka Baninga kwa Mavungu. Anasema Baninga nayo imeshambuliwa lakini wameweza kupambana na watu hawa, na hivi sasa wamewazingira pale shuleni wanaomba msaada kwani mapigano makali yanaendelea".
"Kazi nzuri, twende huko sisi wenyewe, Lemba acha watu wanne tu hapa wengine wote twende mchana hapo sasa ndio mahali pa kufa na kupona", Papa aliamrisha. Wote wakiwa wamebeba silaha zao tayari, waliingia ndani ya magari matatu na kuelekea Kintambo. Bila kujua wakapishana na gari la akina Willy ambalo lilikuwa linaelekea gereji Papadimitriou. Plani ya Willy ilikuwa imefanya kazi.
ITAENDELEA 0784296253
USIKU WA KAZI
IV
Jean, Muteba na Papa walikuwa wanaingia ofisini kwa Papa, ili wafanye mipango ya kuwazuia watu hawa, wakati Lemba mmoja wa wasaidizi wao wakubwa aliyekuwa amebaki baada ya Kabeya, Charles na Masambba, alipowajia. "Tumepata simu kutoka Baninga kwa Mavungu. Anasema Baninga nayo imeshambuliwa lakini wameweza kupambana na watu hawa, na hivi sasa wamewazingira pale shuleni wanaomba msaada kwani mapigano makali yanaendelea".
"Kazi nzuri, twende huko sisi wenyewe, Lemba acha watu wanne tu hapa wengine wote twende mchana hapo sasa ndio mahali pa kufa na kupona", Papa aliamrisha. Wote wakiwa wamebeba silaha zao tayari, waliingia ndani ya magari matatu na kuelekea Kintambo. Bila kujua wakapishana na gari la akina Willy ambalo lilikuwa linaelekea gereji Papadimitriou. Plani ya Willy ilikuwa imefanya kazi.
ITAENDELEA 0784296253
Comments
Post a Comment