KIKOSI CHA KISASI

SURA YA TISA 

USIKU WA KAZI

IV

Jean, Muteba na Papa walikuwa wanaingia ofisini kwa Papa, ili wafanye mipango ya kuwazuia watu hawa, wakati Lemba mmoja wa wasaidizi wao wakubwa aliyekuwa amebaki baada ya Kabeya, Charles na Masambba, alipowajia. "Tumepata simu kutoka Baninga kwa Mavungu. Anasema Baninga nayo imeshambuliwa lakini wameweza kupambana na watu hawa, na hivi sasa wamewazingira pale shuleni wanaomba msaada kwani mapigano makali yanaendelea".

"Kazi nzuri, twende huko sisi wenyewe, Lemba acha watu wanne tu hapa wengine wote twende mchana hapo sasa ndio mahali pa kufa na kupona", Papa aliamrisha. Wote wakiwa wamebeba silaha zao tayari, waliingia ndani ya magari matatu na kuelekea Kintambo. Bila kujua wakapishana na gari la akina Willy ambalo lilikuwa linaelekea gereji Papadimitriou. Plani ya Willy ilikuwa imefanya kazi.

ITAENDELEA 0784296253

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU