Picha mbalimbali zikionyesha kasi ya ujenzi wa barabara ya kisasa kwa kiwango cha lami ukiendelea katika mji mdogo wa Nyamuswa Wilayani Bunda, mkoani Mara. Barabara hiyo inajengwa kutoka Makutano hadi Ikoma Serengeti.
Hii ni sehemu ya Komong'we Nyamuswa, ambapo watu hukutana kwa ajili ya majadiliano na mikutano ya kisiasa.
Barabara inayoka Makao Makuu ya Wilaya ya Bunda kuekea Nyamuswa, umbali wa kilomita 20, ambayo ujenzi wake umenzia Kisorya, kama inavyoonekana katika picha hii.
Barabara ya Musoma, Nyamuswa hadi Serengeti, ambayo ujenzi wake unaendelea kwa kasi.
Comments
Post a Comment