ACACIA YAWAAGA WAFANYAKAZI 1,200

 Wafanyakazi katika mgodi wa Bulyanhulu, ulioko mkoani Geita wakakiendelea na maandalizi ya sherehe ya kuwaaga wafanyakazi 1,200 waliopunguzwa kazi. Muonekano wa viti watakavyokaa wafanyakazi wa Acasia. Magari yakiwa yamepaki. Baada ya Acacia kukamilisha usitishaji wa uchimbaji madini katika mgodi wa Bulyanhulu. Mgodi huo umepunguza wafanyakazi 1,200, wakandarasi 800 na kubaki wafanyakazi 200. Ikielezwa kuwa mwenendo wa soko la madini kutikisika.
 Sehemu iliyoandaliwa kwa sherehe ya kuwaaga wafanyakazi 1,200 waliopunguzwa kazi katika mgodi wa Bulyanhulu.
Magari rasmi yaliyokuwa yakifanyakazi ya kuhamisha mchanga mgodini yakiwa yameegeshwa na Kampuni ya Acacia

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU