WAHITMU STD SABA RUFIJI WAASWA KUJILINDA

 . Picha juu na chini. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Umwe, iliyoko Ikwiriri, Rufiji, mkoani Pwani, Bw. Joshua Ndondole (aliyesimama), akizungumza na wanafunzi wa shule hiyo, waliohitmu elimu ya msingi hivi karibuni, wakati akiwahusia jinsi ya kujilinda wakati wakisubiri matokeo.

 Mzee Shamte Mmipi (kulia), akimuusia mwanae Hawa Mmipi, kuishi kijijini hapo kwa kujilinda na vishawishi wakati akisubiri matokea, akimweleza kuwa kumal;iza darasa la saba ndiyo mwanzo wa safari ndefu ya elimu. Amemuasa aache makundi. 


Comments

Post a Comment

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU