Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Dar es Salaam akiongea na dereva wa Lori ndogo ya mizigo, baada ya kumkamata katika eneo la Gongo la Mboto, huku baada ya madereva wa magari wakisikiliza
Baadhi ya magari yaliyokamatwa na Trafiki katika eneo la Gongo la Mboto kwa makosa mbali mbali leo.
Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani akimweleza dereva wa Lori kuwa haruhusiwi kubeba abiria.
Afisa wa Polisi akijaribu kufafanua jamba kwa dereva wa Lori aliyekamatwa akisafirisha abiria.
Askari wakiwajibika kukamata magari yaliyovunja sheria za Usalama Barabarani, Dar es Salaam leo.
Baadhi ya magari yaliyokamatwa na Trafiki katika eneo la Gongo la Mboto kwa makosa mbali mbali leo.
Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani akimweleza dereva wa Lori kuwa haruhusiwi kubeba abiria.
Afisa wa Polisi akijaribu kufafanua jamba kwa dereva wa Lori aliyekamatwa akisafirisha abiria.
Askari wakiwajibika kukamata magari yaliyovunja sheria za Usalama Barabarani, Dar es Salaam leo.
Comments
Post a Comment