Mkuu wa Mafunzo na Elimu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Jason Musikula, akiwasili kwenye viwanja vya paredi, katika Shule ya Sekondari Jitegemee, Dar es Salaam, kukagua gwaride maalumu lililoandaliwa na wanafunzi. Kulia ni Mkuu wa Shule hiyo Luteni Kanali Martine Mkisi.
Kanali Musikula na wageni wake wakielekea kwenye viwanja vya paredi
Mkuu wa Mafunzo na Elimu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Jason Musikula akikaguwa gwaride wa wanafunzi Jitegemee wasichana
Mkuu wa Mafunzo na Elimu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Jason Musikula akikaguwa gwaride wa wanafunzi Jitegemee wavulana
Mkuu wa Mafunzo na Elimu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Jason Musikula akipiga saluti kuwapongeza wanafunzi wa Jitegemee kutokana na ukakamavu walioonesha
Kanali Jason Musikula (kulia) na Mkuu wa Shule ya Sekondari Jitegemee Luteni Kanali Martine Mkisi, wakifuatilia gwaride la wanafunzi
Gwaride la wanafunzi likipita mbele ya mgeni rasmi
Mgeni rasmi na maofisa wa Jeshi wakitoa heshima, wakati gwaride likipita mbele yao.
Kanali Musikula na wageni wake wakielekea kwenye viwanja vya paredi
Mkuu wa Mafunzo na Elimu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Jason Musikula akikaguwa gwaride wa wanafunzi Jitegemee wasichana
Mkuu wa Mafunzo na Elimu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Jason Musikula akikaguwa gwaride wa wanafunzi Jitegemee wavulana
Mkuu wa Mafunzo na Elimu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Jason Musikula akipiga saluti kuwapongeza wanafunzi wa Jitegemee kutokana na ukakamavu walioonesha
Kanali Jason Musikula (kulia) na Mkuu wa Shule ya Sekondari Jitegemee Luteni Kanali Martine Mkisi, wakifuatilia gwaride la wanafunzi
Gwaride la wanafunzi likipita mbele ya mgeni rasmi
Mgeni rasmi na maofisa wa Jeshi wakitoa heshima, wakati gwaride likipita mbele yao.
Comments
Post a Comment