Katibu wa Pakaya  Bw. Jamali Sagala (katikati), Mkurugenzi Bw. Bakali Kisoma (kushoto) na Bw. Hashimi Ngubege, ambaye ni mhazina wa kikundi cha Rege cha upandaji miti kilichopo katika kijiji cha Kibiti B tarafa ya Kibiti wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani  walipotembelea eneo hilo kukagua miche
 Hapa wakiangalia aina ya miche iliyoandaliwa
 Hapa wakipata maelezo kuhusu mkakati wa kuendeleza miti
 Hapa wakizungumza na baadhi ya wananchi wa Rufiji, mkoani Pwani

Hapa Wakulima wa korosho wa kijiji cha Mgomba kati wakibangua korosho zao baada ya kukosa soko la uhakika, hivyo wanazibangua na kuzijaza kwenye pakti na kuziuza kati ya sh. 500 na 1000.


Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU