Wachezaji wa Prisons wakiwasalia wenzao wa Yanga kabla ya pambano.
Kikosi cha Yanga kilichofanyia kweli Prisons leo
Kikosi cha Prisons kilichokiona na mtemakuni kwa Yanga
Manahodha Nadir Haroub Kanavaro wa Yanga (kulia) na Sino Agustino wa Prisons wakisalimiana mbele ya waamuzi kabla ya mchezo
Mshambuliaji wa Yanga Didie Kavumbangu akijaribu kumtoka mlinzi wa Prisons, Lugano Mwangama (kulia)
Simon Msuva wa Yanga akiambaa na mpira mbele ya beki wa Prisons Lugano Mwangama
Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao la kwanza lililofungwa na Jerry Tegete
Goli la pili la Yanga lililofungwa na Mbuyu Twite
Mbuyu Twite wa Yanga akishangia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dhidi ya Prisons Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo.
Washambuliaji wa Yanga Jerry Tegete (kulia) na Simon Msuva wakishangilia bao la tatu lililofungwa na Tegete
Tegete akijaribu kumtoka mlinzi wa Prisons Aziz Sibo, aliyekaa chini.
Comments
Post a Comment