Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Dkt. John S. Ndunguru (kulia), akimuonesha Rais Jakaya Kikwete, maendeleo ya ujenzi wa Daraja la kisasa la Kikwete linalojengwa Mto Malagarasi, wakati wa Rais Kikwete alipokagua ujenzi wa daraja hilo, Wilayani Uvinza, mkoani Kigoma hivi karibuni..
Rais Kikwete na msafara wake wakiangalia maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo linalokaribia kukamilika (wa tatu kushoto) ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Dkt. John S. Ndunguru, aliyemwakilisha Waziri wa Ujenzi.
Rais Kikwete akiwasikiliza wajenzi wa daraja hilo.
Comments
Post a Comment