LULU AKIPOKEA FEDHA KWA NAIBU WAZIRI NKAMIA BAADA YA KUTWAA KIATU CHA UFUNGAJI BORA WA MASHINDANO YA NSSF MEDIA CUP 2014 NAHODHA WA HABARI ZANZIBAR AKIPOKEA KOMBE LA MSHINDI WA PILI NAHODHA WA MWANANCHI IMAN MAKONGORO AKIPOKEA FEDHA ZA MSHINDI WA TATU, BAADA YA NAFASI HIYO KUTWALIWA NA NSSF WALIOCHUKUA KOMBE.
PICHA MBALI MABLI ZIKIMUONESHA NAHODHA WA NSSF PILI MOGELA AKIPOKEA KOMBE LA MSHINDI WA TATU KUTOKA KWA NAIBU WAZIRI NKAMI NA KULIPELEKA KWA WACHEZAJI WENZAKE
MPIRA WANGU, NDIVYO WANAVYOELEKEA KUSEMA WACHEZAJI WA TIMU ZA NETIBOLI ZA MWANANCHI NA NSSF, ZILIPOCHUANA KUTAFUTA MSHINDI WA TATU WA NSSF MEDIA CUP 2014
HONGERA SANA, DKT DAU AKIMPONGEZA MMOJA WA WAAMUZI WA MCHEZO WA NETIBOLI, BAADA YA KUCHEZESHA VIZURI.
Comments
Post a Comment