RAIS KIKWETE AMPONGEZA MWANDISHI WA BLOG YA MPIGANAJI

Rais Jakaya Kikwete na Mwandishi wa Blog ya Mpiganaji, Nyakasagani Masenza wakiwa wameshikana mikono wakifurahia jambo, walipokuta wakati wa chakula cha usiku kilichoandaliwa na Rais Ikulu ndogo, mjini Dodoma juzi, ambapo Rais Kikwete alimpongeza mwandishi wa Blog hii kwa kuripoti matukio kwa njia ya picha na kurusha hadithi za kusisimua. ASANTE SANA MHE. RAIS JAKAYA KIKWETE.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU