DKT BILAL ASHIRIKI MKUTANO WA MAZINGIRA PERU

Mwenyekiti wa Kamati ya Wataalam wa Masuala ya Majadiliano ya Mabadiliko ya Tabianchi kutoka Sudan, Nagmeldin El-Hassan akimkaribisha Makamu wa Rais wa Tanzania kushiriki mkutano wa Mazingira katika Jiji la Lima, Nchini Peru.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal (kulia), akizungumza na wawakilishi wa Nchi za Afrika wakati wa mkutano wa Mazingira (COP20), uliofanyika Lima, nchini Peru kujadili Mabadiliko ya Tabianchi Dunia.





Wajumbe kutoka Tanzania wakifuatilia kwa makini hotuba ya Makamu wa Rais


Wajumbe kutoka Mataifa mbalimbali duniani wakimsikiliza kwa kina Makamu wa Rais wa Tanzania

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akiwaaga baadhi ya wawakilishi wa nchi za Afrika baada ya mkutano wa mazingira ulijadili kwa kina Mabadiliko ya Tabianchi.




Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU