Afisa
Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Dorice Malulu (kulia), akikabdhi
mfano wa Hundi ya Sh. Milioni 45, kwa Mganga Mkuu wa Zahanati ya Mji Mwema,
Kigamboni, Bw. Richard Mwita, zilizotolewa na TBL kwa ajili ya ujenzi wa kisima
cha maji. Wengine ni Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Omari Kombe
(kushooto), Bi. Upendo Mwabulambo (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Mganga wa
Manispaa ya Temeke, Bw. Shaidi Simb
Mwakilishi Mkuu wa Mganga wa Manispaa ya Temeke,
Bw. Shaidi Simba (kulia), akimkabidhi Mhandisi Amiri Msangi mfano wa hundi ya
milioni 45 zilizotolewa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwa ajili ya kusaidia kuchimba
kisima cha maji kwenye Zahanati ya Mji Mwema. Katikati ni Mganga Mkuu wa
Zahanati hiyo, Dkt. Richard Mwita, Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Omari Kombe
(kushoto) na Muuguzi, Bi. Upendo Mwabulambo.
Comments
Post a Comment