KINTU WA NSSF AZUNGUMZA NA WANA MICHEZO Z'BAR

Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Juma Kintu, akizungumza na Viongozi wa michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakati wa ufunguzi wa Tamasha la michezo ya Vyuo Vikuu na Taasisi ya Elimu ya juu, lililodhaminiwa na NSSF. Tamasha hilo la kila mwaka lilizunduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohammed Shein, kwenye viwanja vya Amani.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU