Afisa Mtendaji wa Kata ya Ikwiriri, mkoani Pwani, Bw. Likwembe, wakishirikiana na Mgambo wa Mji wa Ikwiriri, kufanya usafi wa mazingira.
Afisa Tarafa ya Ikwiriri, mkoani Pwani, Bw. Majuto na Mtendaji wa Kata ya Ikwiriri, Bw. Likwembe wakishiriki zoezi la usafi wa kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi. (PICHA ZOTE ZA SEIF NONGWA, IKWIRIRI)
Comments
Post a Comment