Mshambuliaji nguli wa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara Yanga, Amissi Tambwe (kulia) akipiga mpira mbele ya kipa wa JKU ya Zanzibar, Mohamed Abrahaman, zilipocheza mchezo wa kirafiki kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ililala 2-0.
Kocha Mkuu wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (kulia) na Msaidizi wake Juma Mwambusi wakiwa hawaamini kinachotokea baada ya timu yao kulala 2-0 mbele ya JKU
Comments
Post a Comment