KOCHA LWANDAMINA ASHINDWA KUAMINI YANGA IKILALA MBELE YA JKU


Mshambuliaji nguli wa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara Yanga, Amissi Tambwe (kulia) akipiga mpira mbele ya kipa wa JKU ya Zanzibar, Mohamed Abrahaman, zilipocheza mchezo wa kirafiki kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ililala 2-0.

Kocha Mkuu wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (kulia) na Msaidizi wake Juma Mwambusi wakiwa hawaamini kinachotokea baada ya timu yao kulala 2-0 mbele ya JKU

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU